MWANACHMA
Mwanachama wa HAZINA SACCOS LTD ni mtu yeyote ambaye ni mtumishi wa serikali/Taasisi au shirika la umma Tanzania bara.JINSI YA KUJIUNGA NA HAZINA SACCOS LTD:
- Kujaza fomu ya kujiunga inayopatikana ofisi za HAZINA SACCOS LTD au kwenye tovuti ya chama.
- Kulipa Ada ya kiingilio Tsh 50,000/=
- Kulipa angalau Hisa 25 @ Tsh 20,000/=
HUDUMA ZA KIFEDHA
Mwanachama anaruhusiwa kuweka Akiba (savings) au kulipa deni la Hazina SACCOS Ltd kupitia Benki.
Malipo yoyote yanayofanyika kwa mwanachama huwa ni kwa njia ya Hundi au kwenye akaunti yake.
Jina la Akaunti—Hazina Savings and Credit Society Ltd.
Akaunti namba : 0150237286200 enki ya CRDB
Tawi la Holland.
UKOMO WA UANACHAMA
- Kustaafu kwa kwa mujibu wa sheria
- Kuhamia sekta au makampuni binafsi.
- Kuacha/kufukuzwa kazi serikalini/taasisi.
KANUNI YA KUTAFUTA RIBA
RIBA = P (N+1) r
.......
200
KIELELEZO:
P– MKOPO
N– MUDA(MIEZI) WA KUREJESHA MKOPO
r– RATES (1% AU 1.5%)
MAADILI YA HAZINA SACCOS
- Uadilifu na uaminifu
- Kutoa huduma nzuri na zenye ubora kwa wanachama
- umoja na ushirikiano
- Kubuni, kubiresha, kutoa huduma na bidhaa bora kwa wanachama
- Haki na usawa katika kuwahudumia wanachama
- kupiga vita rushwakwa nguvu zote
- kushiriki kikamilifu katika shughuli za kijamii
- kuendesha saccos kwa misingi ya uwazi na uwajibikaji
- kuheshimu usawa wa jinsia katika uongozi wa saccos.
